Mbrazil Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona katika ushindi wa 6-1 wa Barcelona dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31, Sergi Roberto dakika ya 54, Luis Suarez dakika ya 89 na Lionel Messi dakika ya 90 na ushei, wakati bao pekee la Sevilla lilifungwa na Guilherme Arana dakika ya 67. Barcelona inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3 kufuatia kufungwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment