• HABARI MPYA

    Thursday, January 31, 2019

    COUTINHO AFUNGA MAWILI BARCELONA IKIICHAPA SEVILLA 6-1

    Mbrazil Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona katika ushindi wa 6-1 wa Barcelona dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31, Sergi Roberto dakika ya 54, Luis Suarez dakika ya 89 na Lionel Messi dakika ya 90 na ushei, wakati bao pekee la Sevilla lilifungwa na Guilherme Arana dakika ya 67. Barcelona inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3 kufuatia kufungwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COUTINHO AFUNGA MAWILI BARCELONA IKIICHAPA SEVILLA 6-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top