Mbrazil Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona katika ushindi wa 6-1 wa Barcelona dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31, Sergi Roberto dakika ya 54, Luis Suarez dakika ya 89 na Lionel Messi dakika ya 90 na ushei, wakati bao pekee la Sevilla lilifungwa na Guilherme Arana dakika ya 67. Barcelona inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3 kufuatia kufungwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment