Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili kwa penalti dakika ya 88 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lazio usiku wa jana kwenye mchezo wa Serie A, Italia Uwanja wa Olimpico. Emre Can alianza kujifunga dakika ya 59 kuipa Lazio bao la kuongoza, kabla ya Joao Cancelo kuisawazishia Juventus dakika ya 74. Kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 59 baada ya kucheza mechi 21, ikiendelea kuongoza Serie A kwa pointi 11 zaidi ya Napoli wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dortmund's Jadon Sancho Wows Fans in UCL Semifinal Leg 1 Win vs. Kylian
Mbappé, PSG
-
Paris Saint-Germain's wait for a Champions League title may drag on for yet
another season. The newly crowned Ligue 1 champions fell 1-0 to Borussia
Dortmund…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment