BANDARI KENYA WAKIJIFUA LEO DAR KUJIANDAA NA SPORTPESA CUP
Wachezaji wa Bandari ya Kenya wakifanya mazoezi leo Uwanja wa Polisi, Kurasini mjini Dar es Salaam leo kujiandaa na michuano ya tatu ya Kombe la SportPesa inayotarajiwa kuanza Januari 22 hadi 27 mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni