• HABARI MPYA

    Friday, January 25, 2019

    SIMBA SC NA BANDARI YA MOMBASA KATIKA PICHA LEO TAIFA

    Beki Muivory Coast wa Simba SC, Serge Wawa Pascal akimtoka mchezaji wa Bandari FC ya Mombasa leo katika mchezo wa Nusu Fainali ya SportPesa Super Cup leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Bandari FC imeshinda 2-1.  



    Wachezaji wa Bandari FC wakishangilia baada ya kupata bao la pili na la ushindi leo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA BANDARI YA MOMBASA KATIKA PICHA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top