Kiungo wa Levante, Ruben Rochina akijaribu kumdhibiti nyota wa Barcelona, Philippe Coutinho katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Levante ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Erick Cabaco dakika ya nne na Borja Mayoral anayecheza kwa mkopo kutoka Real Madrid dakika ya 18, wakati la Barcelona lilifungwa Coutinho kwa penalti dakika ya 85 na timu hizo zitarudiana Januari 17 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three-time Cheltenham winner Sire Du Berlais suffers fatal injury at
Punchestown... with trainer Gordon Elliott 'absolutely heartbroken'
following death of 'horse of a lifetime'
-
The 12-year-old pulled up three hurdles from the end of the Ladbrokes
Champion Stayers Hurdle at Punchestown on Thursday.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment