Kiungo wa Levante, Ruben Rochina akijaribu kumdhibiti nyota wa Barcelona, Philippe Coutinho katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Levante ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Erick Cabaco dakika ya nne na Borja Mayoral anayecheza kwa mkopo kutoka Real Madrid dakika ya 18, wakati la Barcelona lilifungwa Coutinho kwa penalti dakika ya 85 na timu hizo zitarudiana Januari 17 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Darts star thrown out of World Championship after failing drugs test
-
Taylor, 27, cruised to a 3-0 win over Oskar Lukasiak on his Alexandra
Palace debut last Sunday and was due to face Jonny Clayton in the second
round of the...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment