Gabriel Jesus wa Manchester City (katikati) akijaribu kupasua katikati ya mabeki wa Burton, huku Nigel Clough akijaribu kumzuia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Pirelli, Burton-upon-Trent mjini Staffordshire. Man City ilishinda 1-0, bao pekee la Sergko Aguero dakika ya 26 akimalizia pasi ya Riyad Mahrez, hivyo kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 10-0 baada ya kushinda 9-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Chelsea na Tottenham Hotspur zinazorudiana leo uwanja wa Stamford Bridge, London kufuatia Spurs kushinda 1-0 Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taiwan's Foxconn says everyone will feel impact of prolonged Iran conflict
-
NEW TAIPEI, Taiwan, March 6 (Reuters) - Everyone will feel the impact on
prices of oil and raw materials if the U.S. and Israeli conflict with Iran
drags o...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment