Mbrazil Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 26 na 83 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sheffield Wednesday kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England uliofanyika Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili lilifungwa na Callum Hudson-Odoi na kwa ushindi huo The Blues wanakwenda Raundi ya Tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taiwan's Foxconn says everyone will feel impact of prolonged Iran conflict
-
NEW TAIPEI, Taiwan, March 6 (Reuters) - Everyone will feel the impact on
prices of oil and raw materials if the U.S. and Israeli conflict with Iran
drags o...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment