Alexandre Lacazette (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 83 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang (kushoto) kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 66 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Cardiff City ambayo bao lake lilifungwa na Nathaniel Mendez-Laing dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 47 baada ya kucheza mechi 24, ingawa inabaki nafasi ya tano kwa kuzudiwa tu wastani wa mabao na Chelsea iliyo nafasi ya nne, lakini ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taiwan's Foxconn says everyone will feel impact of prolonged Iran conflict
-
NEW TAIPEI, Taiwan, March 6 (Reuters) - Everyone will feel the impact on
prices of oil and raw materials if the U.S. and Israeli conflict with Iran
drags o...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment