Ousmane Dembele akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 30 na 31 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Levante usiku wa jana kwenye mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Camp Nou jana. Bao la tatu lilifungwa na Lionel Messi dakika ya 54 na kwa matokeo hayo, Barcelona inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-2 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Ciudad de Valencia Januari 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Diontae Johnson Didn't Realize Dave Canales Was Panthers' HC When They
First Met
-
After being acquired by the Carolina Panthers in a trade with the
Pittsburgh Steelers earlier this offseason, wide receiver Diontae Johnson
is still getting…
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment