Harry Kane akishangilia na mchezaji mwenzake, Dele Alli baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Tottenham Hotspur dakika ya 26 ikiilaza Chelsea 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao jana Uwanja wa Wembley mjini London. Bao hilo awali lilikataliwa na mshika kibendera kabla ya marudio ya picha za video kuonyesha ni bao halali ndipo likakubaliwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Taunts Jake Paul as Boxing Match Announced as a Sanctioned, Pro
Fight
-
The Texas Department of Licensing and Regulations is sanctioning the
scheduled bout between Mike Tyson and Jake Paul as an official fight. "Mike
Tyson and…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment