Romelu Lukaku akishangilia na Alexis Sanchez baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Reading leo kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la United limefungwa na Juan Mata dakika ya 22 kwa penalti, huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo chini ya kocha mpya, Ole Gunnar Solskjaer baada ya kufukuzwa kwa Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs 'expect Rashee Rice to be suspended for at least half a season',
claims NFL insider with wide receiver facing eight charges after 119mph
Dallas car crash
-
Rice, 24, surrendered to police last month after he and another driver of a
speeding sports car allegedly caused a crash involving a half-dozen
vehicles on...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment