Santi Cazorla akiifungia bao la kusawazisha Villarreal dakika ya 82 katika sare ya 2-2 na Real Madrid jana Uwanja wa Ceremica. Cazorla ndiye aliyefunga bao la kwanza la Villarreal pia dakika ya nne, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Karim Benzema dakika ya saba na Raphael Varane dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bucks' Damian Lillard Explains Game 6 Injury Decision: 'F--k It, I'm Going
to Play'
-
Damian Lillard missed Games 4 and 5 against the Indiana Pacers in the first
round of the NBA playoffs while dealing with an Achilles injury, but the
Milwau...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment