Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti Mwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi ya Zheng Tai Group, iliojenga Uwanja huo Mr. Pan Yang, wakati wa hafla hiyo ya Uzinduzi wa Uwanja huo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea Uwanja wa Mao Zedong's baada ya kuufungua rasmin leo Zanzibar, akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Vijana,Michezo, Utamaduni na Sanaa Zanzibar, Omar Hassan King
Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana
Bendera zikipepea wakati wa ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana
Balozi Mdogo wa China anayefanyia Kazi Zanzibar Mhe. Xie Xiaowu, akizungumza wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Uwanja wa Mao Zedong's
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea Uwanja wa Mao Zedong's baada ya kuufungua rasmin leo Zanzibar, akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Vijana,Michezo, Utamaduni na Sanaa Zanzibar, Omar Hassan King
Erik ten Hag hits out at 'totally c**p' reports Manchester United are set
to put majority of their squad up for sale and calls ongoing transfer
stories 'a JOKE'... as the Dutchman continues his feud with the media
-
Ten Hag has found himself under immense pressure after one win in their
last six league games and there has been plenty of speculation he will be
replaced ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment