Victor Lindelof, Ander Herrera, Alexis Sanchez na Marcus Rashford wakimpongeza Romelu Lukaku (kulia) baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 64 akigusa mpira kwa mara ya kwanza, dakika moja tu baada ya kuingia kuchukua nafasi ya Anthony Martial katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St. James' Park. Bao la pili la Man United limefungwa na Rashford dakika ya 80 akimalizia pasi ya Alexis Sanchez na kwa ushindi huo wa nne mfululizo chini ya kocha mpya, wa muda, Ole Gunnar Solskjaer Mashetani Wekundu wanafikisha pointi 38 baada ya kucheza mechi 21, ingawa wanabaki nafasi ya sita nyuma ya Arsenal yenye pointi 41 za mechi 21 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment