Victor Lindelof, Ander Herrera, Alexis Sanchez na Marcus Rashford wakimpongeza Romelu Lukaku (kulia) baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 64 akigusa mpira kwa mara ya kwanza, dakika moja tu baada ya kuingia kuchukua nafasi ya Anthony Martial katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St. James' Park. Bao la pili la Man United limefungwa na Rashford dakika ya 80 akimalizia pasi ya Alexis Sanchez na kwa ushindi huo wa nne mfululizo chini ya kocha mpya, wa muda, Ole Gunnar Solskjaer Mashetani Wekundu wanafikisha pointi 38 baada ya kucheza mechi 21, ingawa wanabaki nafasi ya sita nyuma ya Arsenal yenye pointi 41 za mechi 21 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment