Kiungo wa Wolverhampton Wanderers, Ruben Neves akifumua shuti kutoka umbali wa mita 30 kumtungua kipa Simon Mignolet kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 55 ikiwachapa Liverpool 2-1 kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Raul Jimenez dakika ya 38, wakati la Liverpool inayotupwa nje ya michuanohiyo lilifungwa na Divock Origi dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment