Kiungo wa Wolverhampton Wanderers, Ruben Neves akifumua shuti kutoka umbali wa mita 30 kumtungua kipa Simon Mignolet kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 55 ikiwachapa Liverpool 2-1 kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Raul Jimenez dakika ya 38, wakati la Liverpool inayotupwa nje ya michuanohiyo lilifungwa na Divock Origi dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment