Mshambuliaji Alvaro Morata akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote dakika za 49 na 59 mara zote akimalizia pasi za Callum Hudson-Odoi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' LeBron James on Game 4 Win vs. Nuggets: 'We've Given Ourselves
Another Life'
-
LeBron James says the Los Angeles Lakers were granted "another life" by
winning Game 4 against the Denver Nuggets Saturday night. James scored 30
points to…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment