Zinedine Zidane akishangilia baada ya kufunga kwa mpira wa adhabu dakika ya 49, kikosi cha nyota walioipa Ufaransa Kombe la Dunia mwaka 1998 kikipata ushindi wa 3-2 dhidi ya kikosi cha nyota wote wa fainali za Kombe la dunia mwaka 1998, All Star kilichoongozwa na kocha wa zamani wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger jana mjini Nanterre, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa 98 yalifungwa na Thierry Henry dakika ya 22 na Vincent Candela dakika ya 67, wakati ya kikosi cha Dunia 98 yalifungwa Fernando Morientes dakika ya nane na Gaizka Mendieta dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How Scotland have a 0.1% chance of reaching the knockout stages,
who England are set to face in the last 32 and who is most likely to win
the World Cup
-
Scotland need a miracle to remain one of the World Cup's top eight
third-placed teams and stay in the competition. Steve Clarke's side are
being hauled tow...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment