Kikosi cha England katika suti zao nadhifu maalum kwa safari ya Urusi kwenye Kombe la Dunia. Nyuma kabisa kutoka kushoto ni Danny Welbeck, Phil Jones, Jordan Pickford, Dele Alli, Marcus Rashford, Kyle Walker, Fabian Delph na Jamie Vardy. Katikati kutoka kushoto niMartyn Margetson (Kocha wa Makipa), Harry Maguire, Ruben Loftus-Cheek, Jack Butland, Eric Dier, John Stones, Gary Cahill, Nick Pope na Allan Russell (Kocha wa Washambuliaji). Na mbele kabisa kutoka kushoto ni Danny Rose, Jesse Lingard, Raheem Sterling, Harry Kane (Nahodha), Gareth Southgate (manager), Steve Holland (assistant manager), Jordan Henderson, Ashley Young, Kieran Trippier na Trent Alexander-Arnold PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment