Bingwa wa zamani wa ngumi za kulipwa uzito wa juu duniani, Lennox Lewis ameposti picha hii kuashiria kwamba pambano la kuunganisha mataji kumpata bingwa wa dunia asiyepingika kati ya Muingereza mwenzake, Anthony Joshua (kushoto) na Mmarekani, Deontay Wilder linakuja. Jana Wilder alisema wamekubaliana pambano hilo lifanyike Septemba au Oktoba Uingereza
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment