Bingwa wa zamani wa ngumi za kulipwa uzito wa juu duniani, Lennox Lewis ameposti picha hii kuashiria kwamba pambano la kuunganisha mataji kumpata bingwa wa dunia asiyepingika kati ya Muingereza mwenzake, Anthony Joshua (kushoto) na Mmarekani, Deontay Wilder linakuja. Jana Wilder alisema wamekubaliana pambano hilo lifanyike Septemba au Oktoba Uingereza
O'Sullivan-Higgins match set for thrilling finish
-
The World Championship last-16 tie between Ronnie O'Sullivan and John
Higgins is set for a dramatic end after the Scot closed the deficit to two
frames.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment