Bingwa wa zamani wa ngumi za kulipwa uzito wa juu duniani, Lennox Lewis ameposti picha hii kuashiria kwamba pambano la kuunganisha mataji kumpata bingwa wa dunia asiyepingika kati ya Muingereza mwenzake, Anthony Joshua (kushoto) na Mmarekani, Deontay Wilder linakuja. Jana Wilder alisema wamekubaliana pambano hilo lifanyike Septemba au Oktoba Uingereza
Norris' maiden win 'a long time coming'
-
Lando Norris says his first Formula 1 win was “a long time coming” after
his Miami Grand Prix victory.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment