Viungo Shaaban Nditi wa Mtibwa Sugar (kulia) na Haruna Niyonzima wa Simba kushoto wakipambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu zikitoa sare ya 1-1
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mtibwa Sugar jana
Kiungo Haruna Niyonzima akiwatoka wachezaji wa Mtibwa Sugar jana
Beki wa Simba Erasto Nyoni (kulia) akijibidiisha kumpita kiungo wa Mtibwa Sugar, Hassan Dilunga
Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar Stahmili Mbonde katikati ya wachezaji wa Simba
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akiwaacha wachezaji wa Mtibwa Sugar
Kocha Mcameroon wa Simba, Joseph Marius Omog akitafakari katika mchezo wa jana wakati timu yake ipo nyuma kwa bao 1-0
Mshambuliaji Emmanuel Okwi (wa pili kushoto) akimshauri jambo kiungo Jonas Mkude katika jitihada za kuhakikisha wanakomboa bao. Wengine kulia ni kiungo Haruna Niyonzima anayekunywa maji na Kocha Msaidizi, Jackson Mayanja
Kikosi cha Mtibwa Sugar kilichoanza jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana Uwanja wa Uhuru
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment