Alberto Moreno wa Liverpool akimruka Ashley Young wa Manchester United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya bila mabao. Kwa sare hiyo, United inapaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikifikisha pointi 20 baada ya kucheza mechi nane, mbele ya Manchester City wenye pointi 19 za mechi saba, ambao Saa 11:00 wanacheza na Stoke City Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool are denied a clear goalscoring opportunity against West Ham after
a bizarre decision by referee Anthony Taylor in 2-2 draw
-
Areola rolled the ball out and Cody Gakpo ran towards the French goalkeeper
in an attempt to pass the ball into an empty net before Anthony Taylor
intervened.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment