Alberto Moreno wa Liverpool akimruka Ashley Young wa Manchester United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya bila mabao. Kwa sare hiyo, United inapaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikifikisha pointi 20 baada ya kucheza mechi nane, mbele ya Manchester City wenye pointi 19 za mechi saba, ambao Saa 11:00 wanacheza na Stoke City Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers ANOTHER 'gutting' qualifying session as seven-time
world champion and team-mate Charles Leclerc are eliminated early at
Ferrari's home race amid challenging debut season
-
Lewis Hamilton will start Ferrari's home Emilia-Romagna Grand Prix in P12,
one place behind his team-mate Charles Leclerc who was also bounced out in
Q2.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment