Winga wa Leicester City, Riyad Mahrez akijaribu kuwapita wachezaji wa West Ham leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Leicester imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Mahrez dakika ya tano, Robert Huth dakika ya saba na Jamie Vardy dakika ya 38, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manuel Lanzini dakika ya 20 na Andre Ayew dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star could play for his club on Saturday and be behind bars on Tuesday
-
Tigers star Noah Balta could play for Richmond on Saturday and be jailed
for assault on Tuesday after controversial decision to allow him to line up
agains...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment