Winga wa Leicester City, Riyad Mahrez akijaribu kuwapita wachezaji wa West Ham leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Leicester imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Mahrez dakika ya tano, Robert Huth dakika ya saba na Jamie Vardy dakika ya 38, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manuel Lanzini dakika ya 20 na Andre Ayew dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris reveals Donald Trump claimed he was 'my lucky charm' after
Miami GP victory as Brit says it was an 'honor' to be congratulated by
former president
-
Lando Norris , who clinched his maiden Formula 1 win at the Miami Grand
Prix Sunday, said it was an 'honor' to have Donald Trump supporting him
from the Mc...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment