Cristiano Ronaldo akimpongeza Casemiro baada ya kuifungia Mbrazil huyo kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 68 ikiilaza 2-1 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Karim Benzema alianza kuifungia timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane dakika ya 25, kabla ya Aritz Adruriz kuwasawazishia wenyeji dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ulster decider has 'healthy dollop of rivalry' - McConville
-
Former Armagh All-Ireland winner Oisin McConville is predicting the county
will deliver a first Ulster Championship since 2008 this season.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment