Cristiano Ronaldo akimpongeza Casemiro baada ya kuifungia Mbrazil huyo kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 68 ikiilaza 2-1 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Karim Benzema alianza kuifungia timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane dakika ya 25, kabla ya Aritz Adruriz kuwasawazishia wenyeji dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher criticises Tottenham's 'academy' defending in defeat by
Nottingham Forest as he brands them 'naive' and hits out at Ange
Postecoglou's approach
-
Jamie Carragher criticised Tottenham following their defeat by Nottingham
Forest as he claimed that Ange Postecoglou's side resemble an 'academy'
team defe...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment