Cristiano Ronaldo akimpongeza Casemiro baada ya kuifungia Mbrazil huyo kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 68 ikiilaza 2-1 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Karim Benzema alianza kuifungia timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane dakika ya 25, kabla ya Aritz Adruriz kuwasawazishia wenyeji dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Prostate cancer: Nigerian men makes cure difficult
-
Medical experts have disclosed that over 80 per cent of Nigerian men with
prostate cancer present themselves late for treatment, making the disease
almos...
28 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment