Gary Cahill (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 87 ikiwafunga wenyeji, Stoke City 2-1 Uwanja wa Bet365 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kupaa kileleni kwa pointi 13 zaidi. Willian alianza kuifungia Chelsea dakika ya 13, kabla ya Jonathan Walters kuisawazishia Stoke kwa penalti dakika ya 38, kufuatia Cahill kucheza faulo kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment