Na Alex Sanga, MWANZA
KLABU ya Simba ambayo ipo ziarani mkoani Mwanza asubuhi ya leo imetoa rambi rambi katika Marsh Academy baada ya msiba wa marehemu kocha Silvester Marsh.
Simba imetoa Sh 500,000 jozi moja ya mipira na seti mbili za jezi.
Ofisa Habari wa Simba SC, Hajji Sunday Manara ameahidi timu yake itakuwa bega kwa bega na Marsh Academy kwa kuwa marehemu alikuwa akipenda soka la vijana
"Lazima tumuenzi Marsh kwa kusajili vijana kutoka kwenye klabu yake, "Manara alisema.
Alitaja pia mchezaji mmoja wa Simba aliyefundishwa na Marsh ni Ibrahim Twaha.
Kocha wa Marsh Academy, Ahmad Ally naye ametoa pongezi kwa timu ya Simba kwa msaada wao pia amesema timu yake itashirikiana na simba bega kwa bega.
Emmanuel Okwi ameomba uongozi wa Simba usaidie vijana wa Marsh Academy. Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kuponovic amesema lazima wawasaidie vijana
hao kwa kuwa vijana ni nguvu kazi katika soka.
KLABU ya Simba ambayo ipo ziarani mkoani Mwanza asubuhi ya leo imetoa rambi rambi katika Marsh Academy baada ya msiba wa marehemu kocha Silvester Marsh.
Simba imetoa Sh 500,000 jozi moja ya mipira na seti mbili za jezi.
Ofisa Habari wa Simba SC, Hajji Sunday Manara ameahidi timu yake itakuwa bega kwa bega na Marsh Academy kwa kuwa marehemu alikuwa akipenda soka la vijana
"Lazima tumuenzi Marsh kwa kusajili vijana kutoka kwenye klabu yake, "Manara alisema.
Alitaja pia mchezaji mmoja wa Simba aliyefundishwa na Marsh ni Ibrahim Twaha.
![]() |
| Emmanuel Okwi akizungumza Marsh Academy leo |
![]() |
| Simba wakiwa Marsh Academy leo |
Kocha wa Marsh Academy, Ahmad Ally naye ametoa pongezi kwa timu ya Simba kwa msaada wao pia amesema timu yake itashirikiana na simba bega kwa bega.
Emmanuel Okwi ameomba uongozi wa Simba usaidie vijana wa Marsh Academy. Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kuponovic amesema lazima wawasaidie vijana
hao kwa kuwa vijana ni nguvu kazi katika soka.




.png)
0 comments:
Post a Comment