• HABARI MPYA

    Thursday, April 09, 2015

    COUTINHO AIPELEKA LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA FA


    Philippe Coutinho akishangilia baada ya kufunga bao pekee zikiwa zimesalia dakika 20 mchezo kumalizika katika ushindi wa 1-0 wa Liverpool dhidi ya Blackburn Rovers Uwanja wa Ewood Park, mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Kombe la FA. Mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana Uwanja wa Anfield mwezi uliopita. Liverpool sasa itamenyana na Aston Villa katika Nusu Fainali Uwanja wa Wembley Jumapili ya Aprili 19.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3031019/Blackburn-0-1-Liverpool-Philippe-Coutinho-winner-sends-Reds-FA-Cup-semi-finals-nervy-quarter-final-replay-Ewood-Park.html#ixzz3WkyT756y 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COUTINHO AIPELEKA LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top