Philippe Coutinho akishangilia baada ya kufunga bao pekee zikiwa zimesalia dakika 20 mchezo kumalizika katika ushindi wa 1-0 wa Liverpool dhidi ya Blackburn Rovers Uwanja wa Ewood Park, mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Kombe la FA. Mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana Uwanja wa Anfield mwezi uliopita. Liverpool sasa itamenyana na Aston Villa katika Nusu Fainali Uwanja wa Wembley Jumapili ya Aprili 19.
Adeyemi a ‘con artist’, Presidency says, insists alleged council is fake
-
Presidency accuses Adeniyi Adeyemi of impersonation, forgery and operating
a fake council, with the matter now before a court.
The post Adeyemi a ‘con ar...
3 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment