Na Alex Sanga, MWANZA
Kocha wa Msaidizi wa Timu ya Alliance Fc ya mkoani hapa kessy Mziray amesema kuwa timu yake kwa sasa inajiandaa na Maandalizi makubwa na Ligi ya Kanda ya Ziwa inayoanza mei mwaka huu.
Kessy alisema kwa sasa wanafanya mazoezi ya ufukweni na gym ila wiki ijayo wataanza mazoezi ya uwanjani.
Mabingwa hao wa mkoa msimu huu wa 2014-2015 wapo pia katika Maandalizi ya kwenda nchini kenya kucheza na vigogo wa huko, Sofapaka B na Gor Mahia.
Mkurugenzi wa Alliance Football Club, James Bwire amemchagua kocha wa zamani wa timu ya Hekima,Mkolani na Nange Fc Mathias Wandiba awe kocha Mkuu wa timu ya Under 17 ya Alliance.
Alliance FC ndio Mabingwa wa Mkoa wa Mwanza na timu yao imefuzu katika kucheza Ligi ya Kanda.
Kocha wa Msaidizi wa Timu ya Alliance Fc ya mkoani hapa kessy Mziray amesema kuwa timu yake kwa sasa inajiandaa na Maandalizi makubwa na Ligi ya Kanda ya Ziwa inayoanza mei mwaka huu.
Kessy alisema kwa sasa wanafanya mazoezi ya ufukweni na gym ila wiki ijayo wataanza mazoezi ya uwanjani.
Mabingwa hao wa mkoa msimu huu wa 2014-2015 wapo pia katika Maandalizi ya kwenda nchini kenya kucheza na vigogo wa huko, Sofapaka B na Gor Mahia.
Mkurugenzi wa Alliance Football Club, James Bwire amemchagua kocha wa zamani wa timu ya Hekima,Mkolani na Nange Fc Mathias Wandiba awe kocha Mkuu wa timu ya Under 17 ya Alliance.
Alliance FC ndio Mabingwa wa Mkoa wa Mwanza na timu yao imefuzu katika kucheza Ligi ya Kanda.



.png)
0 comments:
Post a Comment