// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); WEST BROM YAMUWEKA SOKONI BERAHINO PAUNI MILIONI 20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE WEST BROM YAMUWEKA SOKONI BERAHINO PAUNI MILIONI 20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 03, 2015

    WEST BROM YAMUWEKA SOKONI BERAHINO PAUNI MILIONI 20

    KLABU ya West Bromwich Albion imefungua milango ya mauzo ya Saido Berahino mwezi huu, huku Tony Pulis wakitarajiwa kuimarisha kikosi chao kuepuka kushuka Daraja.
    Mwenyekiti wa klabu, Jeremy Peace awali alisema kwamba mchezaji huyo wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya England hataondoka The Hawthorns, lakini baada ya kuwasili kwa Mkurugenzi wa Ufundi, Terry Burton amekuja na mipango mipya.
    Liverpool na Tottenham zinamfuatilia mchezaji huyo zikiwa zinamuhitaji, ingawa bado hazijatoa ofa, huku Burton akisema mkali huyo wa mabao atapatikana kwa Pauni Milioni 20.
    West Brom could be tempted to accept an offer for striker Saido Berahino if it matches their valuation 
    West Brom imesema inamuuza kwa Pauni Milioni 20 Saido Berahino
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WEST BROM YAMUWEKA SOKONI BERAHINO PAUNI MILIONI 20 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top