// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MURRAY AMFUNGA NADAL NA KUTINGA FAINALI MICHUANO YA DUNIA ABU DHABI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MURRAY AMFUNGA NADAL NA KUTINGA FAINALI MICHUANO YA DUNIA ABU DHABI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 03, 2015

    MURRAY AMFUNGA NADAL NA KUTINGA FAINALI MICHUANO YA DUNIA ABU DHABI

    Andy Murray celebrates as he thrashes Rafael Nadal in the semi-final of the Abu Dhabi exhibition event
    Nadal plays a forehand during his last-four clash against Murray at the World Tennis Championship
    Rafael Nadal akipiga kitenisi wakati mchezo wa Nusu Fainali ya michuano ya ubingwa wa dunia wa Tenisi mjini Abu Dhabi dhidi ya Andy Murray Uwanja wa Zayed Sports City. Murray alishinda kwa seti 2-0, (6-2 na 6-0), huo ukiwa ushindi wake wa kwanza dhidi ya wakali wa nne bora tangu Julai mwaka 2013. Murray sasa atakutana na Novak Djokovic leo katika Fainali. 
    A general view of the stadium in Abu Dhabi's Zayed Sport City as Nadal takes on Murray
    Muonekano wa Uwanja waZayed Sport City wakati Nadal akicheza na Murray

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/tennis/article-2894440/Andy-Murray-blasts-past-Rafael-Nadal-straight-sets-reach-final-World-Tennis-Championship.html#ixzz3NjIvX1pR 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MURRAY AMFUNGA NADAL NA KUTINGA FAINALI MICHUANO YA DUNIA ABU DHABI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top