// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SANCHEZ, MARTESACKER WAING'ARISHA ARSENAL KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SANCHEZ, MARTESACKER WAING'ARISHA ARSENAL KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, January 05, 2015

    SANCHEZ, MARTESACKER WAING'ARISHA ARSENAL KOMBE LA FA

    KLABU ya Arsenal imeichapa Hull City mabao 2-0 katika mchezo wa Randi ya Tatu ya Kombe la Uwanja wa Emirates, hivyo kutinga Raundi ya Nne ya michuano hiyo.
    Shukrani kwao, wafungaji wa mabao hayo, Nahodha Per Mertesacker dakika ya 20 na Alexis Sanchez dakika ya 82.
    Kikois cha Arsenal kilikuwa; Ospina, Bellerin, Chambers, Mertesacker, Monreal, Coquelin, Walcott/Oxlade-Chamberlain dk75, Rosicky, Cazorla, Campbell/Maitland-Niles dk90 na Sanchez/Akpom dk84.
    Hull City; Harper, McShane, Maguire, Davies, Figueroa, Quinn, Huddlestone, Ince, Aluko/Elmohamday dk61, Brady na Sagbo/Hernandez dk67.
    (L-R) Santi Cazorla, Hector Bellerin, Alex Oxlade-Chamberlain and Sanchez celebrate victory at the Emirates Stadium
    Kutoka kushoto Santi Cazorla, Hector Bellerin, Alex Oxlade-Chamberlain na Sanchez wakishangilia ushindi wao Uwanja wa Emirates

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2896426/Arsenal-2-0-Hull-City-Mertesacker-Alexis-Sanchez-provide-long-short-repeat-season-s-FA-Cup-final.html#ixzz3Ntak4Cxr 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ, MARTESACKER WAING'ARISHA ARSENAL KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top