// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZIZ KI KATIKA MAZOEZI YA MWISHO YANGA KABLA YA KUIKABILI TENA USM ALGER - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZIZ KI KATIKA MAZOEZI YA MWISHO YANGA KABLA YA KUIKABILI TENA USM ALGER - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, June 03, 2023

    AZIZ KI KATIKA MAZOEZI YA MWISHO YANGA KABLA YA KUIKABILI TENA USM ALGER


    KIUNGO wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki akiwa kwenye mazoezi ya Yanga usiku wa Ijumaa Uwanja wa Julai 5, 1962 Jijini Algiers nchini Algeria. kabla ya mchezo wa marudiano wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, USM Alger hapo hapo Jumamosi.
    Yanga inakabiliwa na mtihani wa kupindua matokeo baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani Jumapili iliyopita Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    PICHA: MAZOEZI YA YANGA KABLA YA KUIVAA USM ALGER JUMAMOSI
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZIZ KI KATIKA MAZOEZI YA MWISHO YANGA KABLA YA KUIKABILI TENA USM ALGER Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top