// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SHEREHE ZA UBINGWA YANGA JUMAMOSI DAR ITAZIZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESHEREHE ZA UBINGWA YANGA JUMAMOSI DAR ITAZIZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SHEREHE za ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara za Yanga zitafanyika Jumamosi kuanzia 3:00 asubuhi timu itakapokuwa inarejea kutoka Mbeya baada ya mchezo wake wa mwisho wa ligi hiyo dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine. Kikosi kitaondoka Mbeya mapema tu asubuhi baada ya mchezo wake na Prisons na kulakiwa na maelfu ya mashabiki wake huku wachezaji wakipanda kwenye gari maalum la kuonyesha Kombe lao. Huu ni ubingwa wa pili mfululizo kwa Yanga na wa 29 jumla ambao unawafanya watanue rekodi yao ya kutwaa mara nyingi zaidi hadi mara saba zaidi ya watani, Simba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment