// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SHEREHE ZA UBINGWA YANGA JUMAMOSI DAR ITAZIZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESHEREHE ZA UBINGWA YANGA JUMAMOSI DAR ITAZIZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SHEREHE za ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara za Yanga zitafanyika Jumamosi kuanzia 3:00 asubuhi timu itakapokuwa inarejea kutoka Mbeya baada ya mchezo wake wa mwisho wa ligi hiyo dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine. Kikosi kitaondoka Mbeya mapema tu asubuhi baada ya mchezo wake na Prisons na kulakiwa na maelfu ya mashabiki wake huku wachezaji wakipanda kwenye gari maalum la kuonyesha Kombe lao. Huu ni ubingwa wa pili mfululizo kwa Yanga na wa 29 jumla ambao unawafanya watanue rekodi yao ya kutwaa mara nyingi zaidi hadi mara saba zaidi ya watani, Simba.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment