• HABARI MPYA

    Tuesday, June 20, 2023

    SIMBA SC YAACHANA KIUNGO MNIGERIA VÍCTOR AKPAN


    KLABU ya Simba imeachana na kiungo wake Mnigeria, Victor Akpan baada ya msimu mmoja tangu imeshika kutoka Coastal Unión ya Tanga.
    Akpan amecheza Simba kwa nusu msimu tu, kabla ya dirisha dogo kutolewa kwa mkopo Ihefu SC ya Mbarali mkoani Mbeya na anakuwa mchezaji wa pili kuruhusiwa baada ya winga Mghana, Augustine Okrah.
    “Baada ya kuwa kwenye kikosi chetu kwa msimu mmoja, Victor Akpan hatakuwa sehemu ya timu yetu ya msimu ujao,” imesema taarifa ya Simba mchana huu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAACHANA KIUNGO MNIGERIA VÍCTOR AKPAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top