• HABARI MPYA

    Wednesday, June 28, 2023

    YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE


    KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya mashabiki wake kuwarushia chupa walinzi wa Uwanja wa Sokoine wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top