• HABARI MPYA

    Thursday, June 15, 2023

    MAKOCHA WA FIZIKI KUTOKA SAUZI NAO WATUPIWA VIRAGO SIMBA SC


    KLABU ya Simba imeachana na makocha wake wa Fiziki, Kelvin Mandla Ndlomo na 
    Fareed Cassiem wote raia wa Afrika Kusini baada ya msimu mmoja wa kuwa kazini.
    Kelvin Mandla Ndlomo na Fareed Cassiem wanakuwa mtu wa pili wa benchi la Ufundi kuondolewa kazini baada ya kocha wa makipa, Mmorocco, Zakaria Chlouha kufuatia timu kumaliza msimu bila taji.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKOCHA WA FIZIKI KUTOKA SAUZI NAO WATUPIWA VIRAGO SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top