// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SINGIDA STARS YAMUONGEZEA MKATABA AZIZ ANDAMBWILE HADI 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESINGIDA STARS YAMUONGEZEA MKATABA AZIZ ANDAMBWILE HADI 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SINGIDA STARS YAMUONGEZEA MKATABA AZIZ ANDAMBWILE HADI 2026
KLABU ya Singida Fountain Gate ‘The Big Stars’ imemuongezea mkataba kiungo wake Aziz Andambwile hadi mwaka 2026. Aziz Andambwile anakuwa mchezaji wa tatu kuongeza mkataba kutoka kikosi cha msimu uliopita baada ya Mbrazil Bruno Gomez hadi mwaka 2025 na Yusuph Kagoma hadi mwaka 2025. Aidha, Singida Big Stars imeachana na kiungo wake Muargentina, Miquel Escobar baada ya msimu mmoja wa kuwa na timu hiyo.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment