// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
DIAMOND ALIVYOWABURUDISHA WANA YANGA LEO JANGWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEDIAMOND ALIVYOWABURUDISHA WANA YANGA LEO JANGWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MWANAMUZIKI Diamond Platinums akiwatumbuiza mashabiki wa Yanga leo makao makuu ya klabu hiyo, Jangwani Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe za kufurahia mataji matatu waliyotwaa msimu huu. Yanga wamekuwa na msimu mzuri, kwani pamoja na kutwaa Ngao ya Jamii, ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) - pia wamefika Fainali Kombe la Shirikisho Afrika.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment