MWANAMUZIKI Diamond Platinums akiwatumbuiza mashabiki wa Yanga leo makao makuu ya klabu hiyo, Jangwani Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe za kufurahia mataji matatu waliyotwaa msimu huu.
Yanga wamekuwa na msimu mzuri, kwani pamoja na kutwaa Ngao ya Jamii, ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) - pia wamefika Fainali Kombe la Shirikisho Afrika.
0 comments:
Post a Comment