// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU
TIMU ya Mbeya City imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kubaki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Gasper Mwaipasi dakika ya na tatu na Sixtus Sabilo kwa penalti dakika ya 37, wakati la KMC limefungwa na Abdul Hillary dakika ya 89. Timu hizo zitarudiana Ijumaa Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga na mshindi wa jumla atabaki Ligi Kuu, wakati timu itakayofungwa itakwenda kujaribu tena bahati ya kubaki ya Ligi Kuu kwa kumenyana na Mashujaa ya Kigoma.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment