// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MBEYA CITY YAICHAPA KMC 2-1 SOKOINE KUWANIA KUBAKI LIGI KUU
TIMU ya Mbeya City imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kubaki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Gasper Mwaipasi dakika ya na tatu na Sixtus Sabilo kwa penalti dakika ya 37, wakati la KMC limefungwa na Abdul Hillary dakika ya 89. Timu hizo zitarudiana Ijumaa Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga na mshindi wa jumla atabaki Ligi Kuu, wakati timu itakayofungwa itakwenda kujaribu tena bahati ya kubaki ya Ligi Kuu kwa kumenyana na Mashujaa ya Kigoma.
Harper & Mew Jensen win Team GB's first Paris medal
-
Divers Yasmin Harper and Scarlett Mew Jensen win Team GB's first medal of
the Paris 2024 Olympics with a dramatic bronze in the women's synchronised
3m spr...
Asante Kotoko land rising star Saaka Dauda
-
Asante Kotoko have bolstered their attacking options by signing promising
forward Saaka Dauda from fellow Ghana Premier League side Bofoakwa Tano
ahead of ...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment