• HABARI MPYA

    Wednesday, June 07, 2023

    BENZEMA AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA SAUDÍ ARABIA


    MSHAMBULIAJI mkongwe wa Kimataifa wa Ufaransa, Karim Benzema ametambulishwa katika klabu yake mpya, Al-Ittihad ya Saudi Arabia baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 258 kama mchezaji huru kufuatia kuachana na Real Madrid ya Hispnania aliyoitumikia tangu mwaka 2009 akitokea Lyon ya kwao.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA SAUDÍ ARABIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top