• HABARI MPYA

    Wednesday, June 14, 2023

    AZAM FC YATIMUA MAKOCHA WAWILI MSPANIOLA NA MTUNISIA


    KLABU ya Azam FC imeachana na makocha wake wawili, Kocha wa makipa Mspaniola Dani Cadena na kocha wa Fiziki, Mtunisia Dk. Moadh Hiraoui.
    Makocha hao wanaondoka kupisha wasaidizi wapya watanaoletwa na kocha mpya, Msenegal Youssouph Dabo ambaye ataanza kukiandaa kikosi kwa ajili ya msimu ujao.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YATIMUA MAKOCHA WAWILI MSPANIOLA NA MTUNISIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top