• HABARI MPYA

    Wednesday, June 28, 2023

    TANZANIA YAANZA VIBAYA MICHEZO YA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI


    TIMU ya taifa ya Soka la Ufukweni, imeanza vibaya Michezo ya Afrika baada ya kufungwa na Morocco 6-4 katika mchezo wa Kundi la Kwanza Ufukweni wa Hammamet nchini Tunisia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAANZA VIBAYA MICHEZO YA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top