// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026
KIUNGO Mghana, James Akaminko ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea na kazi Azam FC hadi mwaka 2026. Taarifa ya Azam FC jioni hii imesema; “Kiungo chuma, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu yetu. Hivyo, bado yupo yupo sana kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026,”. Akaminko alijiunga na Azam FC Julai mwaka jana akitokea Great Olympic ya kwao, baada ya awali kuchezea Pure Joy Stars, Tema Youth, Medeama na Ashanti Gold za kwao pia na US Tataouine ya Tunisia.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment