// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JAMES AKAMINKO AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI MWAKA 2026
KIUNGO Mghana, James Akaminko ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea na kazi Azam FC hadi mwaka 2026. Taarifa ya Azam FC jioni hii imesema; “Kiungo chuma, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu yetu. Hivyo, bado yupo yupo sana kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026,”. Akaminko alijiunga na Azam FC Julai mwaka jana akitokea Great Olympic ya kwao, baada ya awali kuchezea Pure Joy Stars, Tema Youth, Medeama na Ashanti Gold za kwao pia na US Tataouine ya Tunisia.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment