• HABARI MPYA

    Sunday, June 11, 2023

    NI KAYOKO REFA WA AZAM NA YANGA KESHO MKWAKWANI


    REFA Ramadhani Kayoko ndiye atakayepuliza kipyenga katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) kesho baina ya Azam na Yanga Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
    Kayoko wa Dar es Salaam atasaidiwa na mwenyeji, Mohamed Mkono na Janeth Balama wa Iringa, wakati refa wa akiba na Jonesia Rukyaa wa Kagera.
    Mchezo huo utaanza Saa 9:30 Alasiri na kuonyeshwa na chaneli ya Azam Sports 1 HD ya Azam Tv.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI KAYOKO REFA WA AZAM NA YANGA KESHO MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top