// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
POLISI YATOA SARE TENA MOSHI, 1-1 NA MBEYA KWANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEPOLISI YATOA SARE TENA MOSHI, 1-1 NA MBEYA KWANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WENYEJI, Polisi Tanzania wamelazimishwa sare ya 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Habib Kyombo alianza kuifungia Mbeya Kwanza dakika ya 23, kabla ya Kassim Shaaban kuisawazishia Polisi dakika ya 34. Kwa matokeo hayo, Polisi inafikisha pointi 25 na kusogea nafasi ya sita, wakati Mbeya Kwanza inafikisha pointi 15, ingawa inaendelea kuzibeba timu nyingine zote 15 kwenye msimamo wa Ligi baada ya wote kucheza mechi 20.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment