Habib Kyombo alianza kuifungia Mbeya Kwanza dakika ya 23, kabla ya Kassim Shaaban kuisawazishia Polisi dakika ya 34.
Kwa matokeo hayo, Polisi inafikisha pointi 25 na kusogea nafasi ya sita, wakati Mbeya Kwanza inafikisha pointi 15, ingawa inaendelea kuzibeba timu nyingine zote 15 kwenye msimamo wa Ligi baada ya wote kucheza mechi 20.
0 comments:
Post a Comment