KIUNGO Mrundi wa Yanga, Saido Ntibanzokiza akikabidhiwa tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Februari, mwaka huu msimu wa 2021-2022.
Tuzo hiyo ilitolewa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Jumatano Yanga ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Azam FC Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Wengine waliokabidhiwa ni Kocha tulikabidhiwa tuzo za Wachezaji bora na Kocha Mtunisia, Nasreddine Nabi miezi ya Oktoba na Februari, kiungo Mzanzibari, Feisal Salum mwezi Oktoba na mshambuliaji Mkongo, Fuston Kalala Mayele mwezi Januari.
0 comments:
Post a Comment