// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, April 24, 2022

    DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAICHAPA MBEYA CITY 2-1

    WENYEJI, Dodoma Jiji jana wamezinduka na kuichapa Mbeya City ambao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
    Mabao ya Dodoma Jiji yalifungwa na Augustine Nsata dakika ya pili na Seif Abdallah Karihe dakika ya 25, wakati la MCC lilifungwa na Samson Madeleke dakika ya 41.
    Dodoma Jiji inafikisha pointi 24 katika mchezo wa 21 na kusogea nafasi ya 10, wakati Mbeya Kwanza City inabaki na pointi zake 25 za mechi 20 sasa nafasi ya saba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DODOMA JIJI YAZINDUKA, YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top