• HABARI MPYA

    Wednesday, April 27, 2022

    KAPTENI BOCCO AREJEA KUIVAA YANGA JUMAMOSI


    NAHODHA wa Simba SC, John Raphael Bocco amerejea mazoezini kuelekea mechi dhidi ya watani, Yanga Jumamosi baada ya kuwa nje kwa zaidi ya mwezi .
    Simba watakuwa wageni wa Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam katika mchezo wa marudiano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya mechi ya kwanza miamba hiyo kutoa sare.
    Na Bocco, mshambuliaji tegmeo la kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin ameanza mazoezi baada ya kukosekana kikosini kwa muda.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAPTENI BOCCO AREJEA KUIVAA YANGA JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top