MABINGWA wa Afrika, Senegal wamepangwa kundi A pamoja na wenyeji, Qatar, Ecuador na Uholanzi katika fainali za Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.
Wawakilishi wengine wa Afrika, Morocco wapo Kundi F pamoja na Ubelgiji, Canada na Croatia, Cameroon wapo Kundi G pamoja na Brazil, Serbia na Uswisi.
Tunisia wapo Kundi D pamoja na Ufaransa, Denmark na timu itakayopita kwenye mchujo, wakati Ghana wamepangwa ma Ureno, Uruguay na Jamhuri ya Korea.
0 comments:
Post a Comment