// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SENEGAL WAPEWA KUNDI A NA KOMBE LA DUNIA QATAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SENEGAL WAPEWA KUNDI A NA KOMBE LA DUNIA QATAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, April 01, 2022

    SENEGAL WAPEWA KUNDI A NA KOMBE LA DUNIA QATAR


    MABINGWA wa Afrika, Senegal wamepangwa kundi A pamoja na wenyeji, Qatar, Ecuador na Uholanzi katika fainali za Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.
    Wawakilishi wengine wa Afrika, Morocco wapo Kundi F pamoja na Ubelgiji, Canada na Croatia, Cameroon wapo Kundi G pamoja na Brazil, Serbia na Uswisi.
    Tunisia wapo Kundi D pamoja na Ufaransa, Denmark na timu itakayopita kwenye mchujo, wakati Ghana wamepangwa ma Ureno, Uruguay na Jamhuri ya Korea.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SENEGAL WAPEWA KUNDI A NA KOMBE LA DUNIA QATAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top