WENYEJI, Simba SC wametanguliza kifua Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Simba inayofundishwa na kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin limefungwa na beki mkongwe wa kulia, Shimari Salum Kapombe kwa penalti dakika ya 68. Penalti hiyo ilitolewa na refa Mtunisia, Haythem Guirat aada ya winga Mghana, Bernard Morrison kwenye boksi. Timu hizo zitarudiana Jumapili ijayo Uwanja wa Orlando Jijini Johannesburg.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment