Bao pekee la Simba inayofundishwa na kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin limefungwa na beki mkongwe wa kulia, Shimari Salum Kapombe kwa penalti dakika ya 68.
Penalti hiyo ilitolewa na refa Mtunisia, Haythem Guirat aada ya winga Mghana, Bernard Morrison kwenye boksi.
Timu hizo zitarudiana Jumapili ijayo Uwanja wa Orlando Jijini Johannesburg.
0 comments:
Post a Comment