VIGOGO, Yanga SC watakuwa na mechi moja zaidi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara wiki ijayo kabla ya kukutana na mahasimu wao, Simba SC mwisho wa mwezi.
Yanga watamenyana na Namungo FC Jumamosi ya Aprili 23, kabla ya kukutana na mabingwa watetezi, Simba SC Jumamosi ya Aprili 30, mechi zote zikipigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment